kijana mdogo anayefanya vizuri kwa sasa nchini tanzania katika muziki wa hip hop Young killer a.k.a msodoki the son, amesema ana furaha sana baada ya kushirikishwa na mkongwe aliyekulia katika familia ya muziki banana zoro.
katikati ya mwaka huu young killer aliachia wimbo wake mpya "umebadilika" alio mshirikisha mkongwe huyo hivyo basi kutokana na kupokelewa vizuri kwa wimbo huo Banana aliamua kumshirikisha katika wimbo wake huo mpya "samehe sahau" uliotengenezwa katika studio za Dully Syles, 4,12. kwa undani zaidi click HAPA.

No comments:
Post a Comment