Pages

Wednesday, 24 September 2014

YOUNG KILLER "NINAFURAHA KUSHIRIKISHWA NA MKONGWE."

kijana mdogo anayefanya vizuri kwa sasa nchini tanzania katika muziki wa hip hop Young killer a.k.a msodoki the son, amesema ana furaha sana baada ya  kushirikishwa na mkongwe aliyekulia katika familia ya muziki banana zoro.
Young killer, Zahir na Banana
katikati ya mwaka huu young killer aliachia wimbo wake mpya "umebadilika" alio mshirikisha mkongwe huyo hivyo basi kutokana na kupokelewa vizuri kwa wimbo huo Banana aliamua kumshirikisha katika wimbo wake huo mpya "samehe sahau" uliotengenezwa katika studio za Dully Syles, 4,12. kwa undani zaidi click HAPA.

No comments:

Post a Comment